Ticker

6/recent/ticker-posts

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

The government of Tanzania to purchase a second B787 Dreamliner

For those who were wondering about ATCL being able to run smoothly it's long-haul operations with a single Boeing 787 Dreamliner currently on order...here is what you didn't know,...apparently the government of Tanzania through the ministry of works and transport has set aside the down payment for a second Boeing 787 Dreamliner.

Here bellow is an extract of the 2017/18 budget for the ministry of works, transport and communications as presented in the parliament by the minister prof. Makame Mbarawa in which TZS 500,000 million is allocated for finalizing the payment for qnty 2 Bombardier CS300, qnty 1 B787-8 Dreamliner, insurance, training for personnel, start up cost and as well the down payment for another (the second) Boeing 787 Dreamliner.

Quote:

174.Mheshimiwa Spika, ujio wa ndege hizo mbili aina ya Bombardier Dash 8 – Q400 pamoja na ile iliyokuwepo aina ya Dash 8 - Q300 umeiwezesha ATCL kutoa huduma za uhakika za usafiri wa anga katika maeneo ya Dar es Salaam, Mwanza, Kigoma, Arusha, Kilimanjaro, Bukoba, Mbeya, Dodoma, Zanzibar na Moroni (Comoro). Kwa kutumia ndege hizo tatu, ATCL inatarajia kupanua huduma zake katika maeneo ya Mtwara, Mpanda, Songea na Tabora kuanzia mwezi Juni 2017. Safari za nchi jirani za Entebbe (Uganda), Nairobi (Kenya), Bujumbura (Burundi) na Kigali (Rwanda) zitaanza baada ya kupata ndege ya tatu ya aina ya Bombardier Dash 8 – Q400 Julai 2017. Aidha, mara baada ya ndege aina ya Bombardier CS 300 kuwasili nchini, ATCL itaanza safari za kwenda Afrika ya Magharibi, Afrika ya Kati, Afrika ya Kusini, Mashariki ya Kati na India; na baadae kufanya safari za masafa marefu kwenda China, Ulaya, na Marekani baada ya ndege ya Boeing 787 kuwasili.

SEKTA YA UCHUKUZI Makadirio ya Matumizi ya Kawaida na Bajeti ya Miradi ya Maendeleo:

335. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2017/2018, Kampuni ya Ndege (ATCL) imetengewa shilingi milioni 500,000 kwa ajili ya kukamilisha malipo ya ununuzi wa ndege 3 ambapo ndege mbili (2) ni za aina ya CS 300 zenye uwezo wa kubeba abiria 127 kila moja na ndege kubwa moja (1) ya masafa marefu aina ya Boeing 787-8 Dreamliner yenye uwezo wa kubeba abiria 262. Aidha, fedha hizo pia zitatumika kwa ajili ya gharama za bima, mafunzo (marubani, wahandisi na wahudumu), gharama za kuanzia (start up cost) pamoja na malipo ya awali ya ndege nyingine ya aina ya Boeing 787 (Dreamliner).

End of quote. 

Post a Comment

0 Comments